idd

We provide better service

Monday, August 15, 2022

TUMIA MATUNDA HAYA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME UTANISHUKURU BADAE

 Boresha afya ya tendo la ndoa kwa vyakula hivi

Halilisha unatumia vyakula hivi nusu saa kabla ya tendo la ndoa

Tango

Tango ni tunda ambalo lina potassium kwa wingi ambayo husaidia katika kuboresha afya ya tendo la ndoa. Unaweza kutumia kwa kuchemsha maganda yake au ukatumia tango lenyewe kama chakula nusu saa kabla ya tendo la ndoa.

Matumizi

Unaweza kuwa unakunywa juice ya majani ya tango uliyo ya chemsha au ukala tango leneyewe nusu saa kabla ya tendo la ndoa.

Tende (Date)

Tende ni tunda lenye wingi wa vitamin kama vile vitamin B1, B2, B3, B5, C, Calories (nishati ya mwili) na madini kama vile calcium, Potassium na magnesium. Hivyo basi tende inauwezo wa kuongeza damu kwa wingi kwa kuwa inautajiri wa madini ya chuma na kumsaidia binadamu kuimarisha mishipa ya fahamu vizuri. Wingi wa damu mwilini unasaidia damu kufika kwa urahisi sehemu mbalimbali za mwili ikiwemo kiungo cha mwanaume cha uzazi hivyo kusadia kusimamisha vizuri pia ubora wamishipa ya fahamu humsaidia mwanaume kuwanahisia na tendo, kwa muunganiko huo husaidia kuboresha afya ya tendo la ndoa ipasavyo.

Matumizi

Unaweza kuchanganya tembe tatu na kuendelea za tende kwenye maziwa na kufanya kikawa kinywaji chako mara kwa mara au unaweza ukatumia mchanganyiko huo nusu saa kabla ya tendo itasaidia uimarisha afya yako ya tendo la ndoa.

Tikiti maji (Water melone)

manufaa mengi kwenye mwili wa binadamu hasa kuboresha afya ya tendo la ndoa kwani lina wingi wa madini na vitamin ambavyo husaidia kuboresha mzungoko wa damu na hivyo hufanya damu iweze kusafiri vizuri kuelekea katika viungo vya uzazi vya mwanaume.

Matumizi

Pendele kutumia tikiti maji mara kwa mara, pia inashauriwa kutumia tikiti maji nusu saa kabla ya tendo itakuletea matokeo mazuri sana.

Strawberries

Tnda hili lina utajiri wa madini ya zinc. Madini ya zinc yanafaida kubwa sana katika kuboresha afya ya tendo la ndoa kwa wanaume na wanawake,

Matumizi

Unaweza ukafanya tunda hili kama kiburudisho chako kwa kula mara kwa mara, pia inashauriwa kutumia nusu saa kabla ya tendo la ndoa.

Ndizi mbivu

Pendelea kutumia ndizi mbivu mara kwa mara kwani ndizi ina utajiri wa nishati ya mwili kwa sababu ya sukari ilimio hivyo husaidia kuimarisha na kuboresha afya ya tendo la ndoa.

Matumizi

Unaweza kutumia ute ute wake ikiwa mbichi au ukaichemsha na kula kama chakula cha kawaida tu. Pia unashauriwa kutumia ndizi mbivu wastani wa ndizi tatu nusu saa kabla ya tendo la ndoa itasaidia sana kushiriki tendo kwa ufasaha zaidi.

Mayai ya kuku wa kienyeji

Mayai ya kienyeji hususani ya kuku wa kienyeji yana maajabu makubwa katika kuimarisha afya ya tendo la ndoa.

Matumizi

Unaweza kuchanganya mayai matatu na kupata ute ute wake au ukayachemsha na kufanya kama chakula chakawaidia tu. Pia unashauriwa kutumia nusu saa kabla ya tendo la ndoa utaona maajabu yake.

Parachichi

Tunda hili linasaidia kuupa mwili nguvu na kuuweka vizuri mfumo wa fahamu kwakuwa tunda hili linawingi wa nishati ambavyo husaidia kuboresha afya ya tendo la ndoa.

Matumizi

Unaweza kutumia kama tunda wakati wa mlo, pia unashauriwa kutumia nusu saa kabla ya tendo la ndoa husaidia sana kufurahia tendo kwani mfumo mzima wa fahamu unakuwa uko vizuri pia kiwili wili kinakua na nguvu za kutosha.

Karanga mbichi

aalamu unashauriwa kula mara kwa mara karanga mbichi kwani zina mafuta mazuri ambayo husaidia kuongeza stamina katika tendo la ndoa lakini pia huongeza hamu ya kushiriki tendo la ndoa pamoja na kuongeza wingi wa shahawa.

Matumizi

Unashauriwa kutumia karanga mbichi nusu saa kabla ya tendo la ndoa ili uweze kuongeza shahawa na kuupa mwili satamina wakati wa tendo.

 

 

 

No comments:

Post a Comment